Wakati anaongea na jarida la Gazzete Dello Sport Ronaldo amefunguka haya:-
“I would like him to come to Italy one day Like me, Accept to challenge. But if he is happy at Barcelona I respect him, He is a fantasic player”
“Ningependa kumuona akija kucheza katika ligi ya Italia siku moja Kama mimi, aweze kukutana na Kukubali kuwa kuna changamoto nyingine, Lakini kama yeye ni mwenye furaha katika klabu yake ya Barcelona sawa maana Mimi namheshimu sana, Yeye ni mchezaji bora na mzuri sana ”
Weka Maoni yako Hapa
0 comments:
POST A COMMENT