MAKAMBO APOKEA KIFAA MAALUM KUTOKA UTURUKI | Pekua Ndani

Find Jobs In Tanzania

Breaking News
Loading...

Friday, December 21, 2018

MAKAMBO APOKEA KIFAA MAALUM KUTOKA UTURUKI



Mshambuliaji wa Yanga, Heritier Makambo hivi karibuni anatarajia kupokea kiatu kipya cha kuchezea kutoka nchini Uturuki baada ya kununuliwa na mmoja wa wafuatilia wa soka nchini Tanzania, Mzee Karama.

Mdau huyo mwenye duka la mich­ezo la Just Fit lililopo Mlimani City jijini Dar amemnunulia kiatu hicho mshambuliaji huyo sambamba na beki Abdallah Shaibu ‘Ninja’ ambavyo atawapa hivi karibuni kwa ajili ya kuvi­tumia kwenye michezo ya ligi.

Mzee Karama ameliambia Cham­pioni Ijumaa, kuwa anamletea Makambo viatu hivyo kwa ajili ya kuongeza idadi ya mabao ambapo tayari ameshavilipia.

“Nipo Uturuki na nimenunua viatu vya Makambo na Ninja ambavyo nawaletea, tayari nime­shavilipia. Namletea Mkambo hili ma­bao yaongezeke,” alisema Mzee Karama.

CHANZO: CHAMPIONI

BONYEZA HAPA ===> SALEH JEMBE SPORTS
Kwa wasomaji wa Blog yetu pendwa ya michezo hakikisha una nifollow INSTAGRAM kwa kubonyeza link iliyopo hapo Juu tutakudodoshea Upates zote za michezo kuanzia sasa.
Asante

BONYEZA HAPA ===> SALEH JEMBE SPORTS


Weka Maoni yako Hapa

google+

linkedin

0 comments:

POST A COMMENT